KUKABIDHI ZAWADI KWA WATOTO
Shalom,
Mkurugenzi mkuu wa Elishadai Ministry akiwa katika picha ya kukabidhi zawadi zilizopatikana wakati wa sharehe za kutimiza miaka mitano ya kuhudumu akiwa na baadhi ya watoto wa kituoni hapo na sehemu pia ya wana Elishadai.
No comments:
Post a Comment