SHALOM,
Leo tutazame kwa habari ya maamuzi katika maisha yetu yana sehemu gani katika mafanikio yetu hata siku za utumishi wetu hapa duniani.?
“MAFANIKIO
YANATEGEMEA NA NGUVU ILIYO KATIKA MAAMUZI YAKO JUU
YA MAFANIKIO”
BWANA
YESU ASIFIWE,
Katika uumbaji wake Bwana MUNGU amekupa nafasi ya kuamua
aina ya maisha yako kuwa
ya kimasikini (nyonge) au
kumiliki na kutawala.
Maamuzi ni kuamua juu ya jambo Fulani,Mungu amekupa nafasi
ya kuamua juu ya maisha yako.Kwa mfano katika
DANIEL 1:8, ISAYA 1:16-19
Maamuzi unayoyafanya juu ya kutii sheria ya Bwana ama
kutotii ndio utakaoamua aina ya maisha
yako.Kumbuka
Mungu ameweka nguvu ndani yako ili
kufanikisha mipango yako.
TORATI
4:7,, 26:16-19, KUTOKA 6:7
Maamuzi unayofanya juu ya kutii sheria ya Bwana ama
kutotii ndipo unapoamua aina ya maisha yako.KumbukaBwana ameweka nguvu
ndani yako ili uitumie kufanikisha
mipango yako.
YOHANA
1:12
Ni pende kushukuru kwa upendo huu na nafasi hii Mungu aliyopenda kutushirikisha kwa pamoja Mungu asikie hitaji lenu kila mmoja mmoja awabariki na kuwalinda sana.
Na Mwl.A.B.Mrosso
No comments:
Post a Comment