Shalom,
Wana wa Mungu. Nichukue nafasi hii kuwa karibisha ktk sadaka ya shukrani kwa watoto wenye uhitaji ktk kituo cha Watoto Wetu Tanzania, zamani Don Bosco. Kimara-Suka. Jumamosi,12/12/2015, saa tano asubuhi (11:00am)
Njoo na rafiki yako chochote kwao ni sadaka hata uwepo wako tu ni sadaka tosha.
Karibuni sana.
Amani na salama