WACHUNGAJI KATIKA KANISA
MCHUNGAJI
NI YULE ANAYECHUNGA, ANAYELIHUDUMIA, NA
KULILINDA KANISA. Katika 1Sam 17:34-37,
Math 18:12-14, Yoh 10:12,14, Zek 11:16,17.
Mwokozi wetu Yesu Kristo ni yote katka haya kuhusiana na
kanisa la ulimwengu na ushirika wa eneo la wa waamini. Ikiwa tukitilia maanani
sifa zake zote na upendo wake,upole, kutokuwa mbinafsi,wema, mwenye
utaayari wake wa kukubali
kukataliwa,kudharauliwa, aibu, mateso.
Ni mfano wa namna gani.?, alikufa kutuoka sisi, anaishi
kututunza na katika kurudi kwake atuchukue twende kwake. Katika nuru ya mfano huu mkamilifu tunahitaji
kuiangalia Biblia mwongozo waetu wa kipekee
unavyotuambia kuhusu
kinachohitajika kwa wachungaji katika kutawala, utaratibu na utiifu katika
kusanyiko la eneo.
NI NANI ALIYEWACHAGUA WAZEE.?
(WAANGALIZI AU MAASKOFU)
Katika Mdo 20:28 inataja wazi kuwa Roho Mtakatifu “….amewaweka nyinyi kuwa
waangalizi ndani yake….” Pamoja na mamlaka yao ya kipekee ya kitume na ufahamu wa ndani wa kiroho
waliwachagua(
Waliwaekea mikono)wazee katika kanisa la kwanza kwa njia ileile waliobariki mafundisho kwa ajili ya kanisa ulimwengu na la eneo( Mdo
14:23, 16:4 ) Haya yalifanyika chini ya uongozi wa Roho Mtakatifu haikufanyika
kupitia uchaguzi holela, kura au kuteuliwa kwa ngazi za kiutawala wa kidini,
bali zoezi la kiroho na kujifunza kwa
makini juu ya watu hao, kama tunavyoona katika ubora na wasifu unaotakiwa kwao.
Mungu ametupa mafundisho ya mitume kama
ilivyodhihirishwa kwao na Roho Mtakatifu
na kuhifadhiwa kwa ajili yetu katika kanuni ya maandiko-neno la Mungu
lililovuviwa. Kwa jinsi hiyo , hii ndiyo msingi
pekee wa kutambua wachumgaji katikati yetu.
Ni yupi anaye staili kuwa mchungaji, 1Pet 5:2-5, Sifa za
wale watu wasiolaumiwa katika haya yaliyo orodheshwa kwa ajili yetu katika 1Tim
3:2-7,
Itaendelea.......................
No comments:
Post a Comment