MAHITAJI:
1. 1.
Awe aliyeoa .
2. Awe na kiasi.(Mwangalifu, mawazo safi.) 3. Awe na busara 4. Awe mtu wa utaratibu (mawazo mazuri,
anayejitaawla) 5. Awe mkaribishaji
(rafiki kwa wageni) 6. Awe anayejua
kufundisha (mwenye ujuzi wa kufundisha mafundisho ya kweli.) 7. Awe mtu asiye zoelea ulvi. 8.
Asiwe mtu wa kushabikia magomvi. 9. Awe mpole 10. Asiwe mtu wa kupenda ubishani. 11.
Mwenye kuitawala nyumba yake mwenyewe.
12. Asiwe mpenda fedha 13. Asiwe
mtu aliyeongoka karibuni.(hajakomaa katka maandiko) 14. Anaye shuhudiwa mema na watu walio nje
(aliye shaihidi mwema kwa dunia.)
Katika Heb 13:17 inasema “…watatoa
hesabu kwa kazi yao ya uchungaji ..”
Inahitajika kujitoa kiasi kikubwa na kuwajibika.
WAJIBU:
Waangalizi wako chini ya uchungaji wa Bwana
Yesu Kristo.Hawa ni watu ambao wanatazamwa na waamini wakati wa magumu,
mfadhaiko, huzuni na maumivu. Wanawatazama kwa uongozi, mafundisho na kuelekeza
kwa njia ya huduma ya neon na kwa kuwa mifano.Wanatakiwa kujenga nidhamu katika
kifungo cha maandiko kuhakikisha utaratibu mzuri na ushuhuda mzuri katika
kusanyiko na kuhakikisha kuwa mafundisho potofu hayaingizwi.
Wazee (wachungaji, waangalizi)
hawachaguliwi na watu kama vile ilikuwa ni mfumo Fulani unaofuatwa wa
uongozi wa ngazi ya uongozi wa kidini,
au kamati teule ya kufanya maamuzi, lakini ni kwa Roho wa Mungu.Wazee wana
uzoefu mwingi katika masuala ya familia na juu chini, na masumbufu ya maisha,
kwa kawaida wanaweza kuwa na sifa za kuongoza, kushauri, na kufariji wale wenye
uhitaji.Petro mtume akijitoa kwa mfano wa mzee anaongelea juu ya wajibu wa
wachungaji na utawala wao:1Pet 5:1-5
1.
Kulinda kundi.
2.
Kuongoza
(kuwa vielelezo)
No comments:
Post a Comment