Mwl/Mch AB Mrosso aliongoza ibada ya Christmass 25/12/2018 katika Kanisa la Moraviani la Uamsho Tanzania, usharika wa Sanje wilaya ya kilombero mkoan Morogoro.
Pamoja na mambo mengi Ibada hiyo iliambatana na Ubatizo, na kuwarejesha kundini wakristo kadhaa.
Neno Luka 2:1-14.
Msisitizo katika mahubiri.
Upendo
Msamaha
Wokovu
Utoaji
Msamaha
Wokovu
Utoaji
No comments:
Post a Comment