SHALOM,
FUNGUO
- TAMBUA KUWA UNAYO KARAMA AU HUDUMA
- KUJUA HUDUMA YAKO MAALUM (KUSUDI) 2TIM 1:9-11
- KUGUNDUA KARAMA MAALUM (KUSUDI)
- KUWA MWOMBAJI. (MAOMBI YA MUDA MREFU) MDO 6:3-7
- KUWA NA MAONO.(VISION)
- KUWA MWAMINIFU.( UICHOCHEE ) 1TIM 1:14, 2TIM 1:6
- LINDA TABIA YAKO
- UWE TAYARI KUONGOZWA NA ROHO MTAKATIFU.
PIA ALISISITIZA KUWA
HUDUMA SI CHEO, KWA SABABU WATU WENGI WAMEFANYA HUDUMA KUWA NI SEHEMU YA VYEO VYAO.
SOMO 2: “NI YUPI MWANAFUNZI WA YESU.”
NA MWL. FAITH
MOKOMOUA KUTOKA KENYA.
YN
8:31-32, 1PET 2:21
KANUNI ZA MWANAFUNZI WA YESU
ü
KUNYENYEKEA HATA KAMA UNA HUDUMA AU KARAMA LK.
6:40
ü
KUISHI KULINGANA NA NENO. YOS 1:8, YN 6:35
ü
KUJITOA KWA YESU ASILIMIA MIA (100%) MT. 6:8, 24., FLP. 4:19
ü
KUWAPENDA WENGINE. YN
13:34-35
ü
NI MWENYE KUWA NA SHAUKU YA KUTIMIZA AGIZO KUU. MK 16:5-7
GHARAMA ZA MWANAFUNZI WA YESU




TUKUTANE TENA KWENYE SEHEMU YA TATU NA YA MWISHO YA RIPOTI HII YA SEMINA INAYOHUSU "UCHUMBA NA NDOA"
No comments:
Post a Comment