BAADHI YA MAPAJI YALIOPATIKANA.
Shalom,
Mkurugenzi mkuu wa Elishadai Ministry akiwa katika picha ya kukabidhi zawadi
zilizopatikana wakati wa sharehe za kutimiza miaka mitano ya kuhudumu
akiwa na baadhi ya watoto wa kituoni hapo na sehemu pia ya wana
Elishadai.
No comments:
Post a Comment